Hahahaha huyu wa two or three years ago! Alikua RPC Moro ila sio ShekiondoHuyo sio aijipii mahita kweli ambae Toto lake limebokoa kwenye kesi ya mbowe pia.
Kuna yule aliyewahi kuwa RPC wa Moro ambaye pia alibaka, ile kesi sijui iliishia wapi
Kulikuaga na kesi ya Mahita mzee na Hausigeli zamanKuna yule aliyewahi kuwa RPC wa Moro ambaye pia alibaka, ile kesi sijui iliishia wapi
Ile ililkua nyepesi, wacha nitajaribu kuitafutaKulikuaga na kesi ya Mahita mzee na Hausigeli zaman
π π π π π πKuna yule aliyewahi kuwa RPC wa Moro ambaye pia alibaka, ile kesi sijui iliishia wapi
Iliripotiwa ITV naikumbuka vyema sanaπ π π π π π
Hii kali. Ilitokea lini? Au ni kwenye senema za bongo muvi??
[emoji23][emoji23][emoji23]Unaweza kukuta kawa Kiongozi wa CCM
Hahaha we jamaa wewe πUnaweza kukuta kawa Kiongozi wa CCM
Unamaanisha mbuzimee ??Hili jamaa likiishi kigurunyembe mizambarauni miaka mwanzoni ya 90 likiwa lihalifu haswa Ila lilifungwa mvua15 baada ya kubaka. Sijui litakuwa wapi Sasa. Anaejua atujuze.