Bangi au nini...??

Bangi au nini...??

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
AFANDE.jpeg

Afande Sele.
 
Sasa mbona kaushikilia mtarimbo!!! au nawenyewe ulikuwa mzuka! hahahaaaa
 
Acheni bana mbona hata Akon na Wyclif hufanya hayo!

akon.jpg
 
Wyclif amependeza sana na hiyo boxer yake......woooow
 
Aww!Wycliff ana kifua eeh!..ila afande ile sijui ni boska/pichu au bukta!..looh!!
 
Aww!Wycliff ana kifua eeh!..ila afande ile sijui ni boska/pichu au bukta!..looh!!

kifua cha akon kimetulia sana bana....wyclif ni boska ndio imemtoa...ila kifua cha yule mwanakwetu pale juu mmh sijui ni shauri ya ugali na mbilimbi?
 
Hawa jamaa zetu wa Bongo wanavuta bangi bila kula halafu wanakuwa wehu!! Afande Sele alikuwa mburudishaji mzuri, na mashairi yake yalikuwa murua sasa hili ganja limemuua kabisa!!
 
Sijui kama ukiwa na wanao NA MKEO unAweza KUTHUBUTU kukemea siku wakiwavulia nguo wenGINE hadharani kama hivi.
 
Back
Top Bottom