Bangi au nini...??

Sasa mbona kaushikilia mtarimbo!!! au nawenyewe ulikuwa mzuka! hahahaaaa
 
Acheni bana mbona hata Akon na Wyclif hufanya hayo!

 
Wyclif amependeza sana na hiyo boxer yake......woooow
 
acheni bana mbona hata akon na wyclif hufanya hayo!


masa, fananisha hata mazingira..hiyo pitshot ya sele na ya akon ni kama soko la tandale na kibaigwa.
 
Aww!Wycliff ana kifua eeh!..ila afande ile sijui ni boska/pichu au bukta!..looh!!
 
Aww!Wycliff ana kifua eeh!..ila afande ile sijui ni boska/pichu au bukta!..looh!!

kifua cha akon kimetulia sana bana....wyclif ni boska ndio imemtoa...ila kifua cha yule mwanakwetu pale juu mmh sijui ni shauri ya ugali na mbilimbi?
 
Hawa jamaa zetu wa Bongo wanavuta bangi bila kula halafu wanakuwa wehu!! Afande Sele alikuwa mburudishaji mzuri, na mashairi yake yalikuwa murua sasa hili ganja limemuua kabisa!!
 
Sijui kama ukiwa na wanao NA MKEO unAweza KUTHUBUTU kukemea siku wakiwavulia nguo wenGINE hadharani kama hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…