Bangi bangi bhang

Wababa

Senior Member
Joined
Jul 21, 2011
Posts
158
Reaction score
14
Hbr zenu wana jf, jamani nisaidieni hapa wataalam, nina jamaa yangu sana anavuta sana bhang sasa kapata kazi na anatakiwa kupimwa mkojoe afanye ki2 gani cku hiyo ili aepukane na suala la kukutwa na bangi
 
Akaji Flash Kwanza kisha aache hizo Bangi.
 
Mpe pole tu aisee...kwa sababu hata akiwa na trace tu ya bangi huwezi kuelezea imetoka wapi, huwezi hata singizia kuwa kuna dawa ina sort of chemicals ambazo zinafanana na bangi! Na tatizo bangi huwa inatolewa (excreted) kwenye mkojo taratibu kwa muda mrefu, kama alivuta hata mwezi mmoja uliopita bado watapata trace kwenye mkojo!
 
Bleach.......... chlorox amwagie kidogo kwenye mkojo.
Kama mouth swap......... asukutue na mountain dew kabla ya swap
 
Sessame seeds zinatoa same results.
 
Mwambie bora akose kazi ila bang asiache, huwa inaleta misimamo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…