Bangi haram

zayat

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
337
Reaction score
42
Siku moja kule mji kasoro bahari Moro maeneo ya mji mpya kulikuna wafuta bangi 2 wakibishana kuhusu mwezi ua jua kwakweli muda ulikua wa jioni jua limesha zama

Vuta 1:-lile jua
Vuta 2:-Hapana ule mwezi
Vuta 1:-Wewe kanja imekukubali mapema lile jua
Vuta 2:-Wewe kanja umechanganya na kinyesi cha mtu imepanda haraka ule mwezi
Kwa bahati mimi nikakatiza
Vuta 1:-Bro samahani tukuulize at lile jua au mwezi
Mimi :- Washkaji mimi mgeni sehemu hii hata sijui kama mwezi au jua
 
Yaan Zayat we ndo kheri ya hao wafuta bange!hapo ulikuwa zero kabisa
 
unanikumbusha movie ya kina majuto anbayo kutokana na ubishi Chili alikula mavi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…