Bangi iliyo kamatwa na polisi yapotelea polisi

Bangi iliyo kamatwa na polisi yapotelea polisi

Mtoto wa tembo

Senior Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
198
Reaction score
30
Mwezi mmoja uliopita jeshi la polisi lilitangaza kukamatwa kwa magunia tisini ya bangi na ushahidi wa picha ulikuwepo
chakushangaza ni hayo magunia yalikua tisini pindi walipoyakamata,muda huu yamebaki kama mgunia matano nadhani.
sasa kama polisi kunaibiwa huku ngalolo tutakua salama kweli??

Waandishi wa habari wanatakiwa wahji hili suala',walipoyakamata waliwaita ....vipi wakati wa uteketezaji kwanini hawkutaarifiwa??
 
We hii mvua hauioni ??
Mengine yamesombwa na mafuriko.
 
wewe jamaa vipi? wao ndio wanapanga bei elekezi ya zao hilo kwa maanawanajua soko lilipo, subiri uone mapato yatakayotangazwa hapo baadae...
 
Police wa tanzania huwajui? Bora hizo bangi zimebaki magunia matano.mbeya baada ya polisi kukamata madawa ya kulevya na kisha kupelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali yamebadilika na kuwa sukari na chumvi
 
Polisi wa Tanzania ni waatalam sana hawajui bei ya gunia la mahindi ila bei ya gunia la bangi ambayo haina soko maalumu wanajua sijui ni nani hupanga hiyo bei
 
Wanachoniudhi mie hawa Mapolisi ni kitendo chao cha kuharibu au dawa au nafaka ilio halali kabisa.. Chukulia mfano huu ambao ni kweli kabisa:.. Mohamed Akasha ni mfanyabiashara aliekamatwa na mzigo mkubwa wa madawa ya kulevya aina ya mandrax.. haya ni madawa ambayo yako katika mfumo wa vidonge.. Hii ilikuwa katikati ya miaka ya 90.. Kilichofanyika baada ya kukamatwa na madawa hayo.. Polisi waliyauza yale madawa yote (na mengi waliuza kwa kati ya shs 450,000 mpaka 600,000 kwa kopo moja ambalo lilikuwa na vidonge 1000.. Makopo yaliokamatwa yalikuwa takribani makopo 600 kasoro kidogo tu.. Walichofanya sasa ni kuchukua dawa za panadol na aspirini na nyingine kuzirudisha kama kidhibiti ambacho mwisho wa siku walienda kuchoma moto kwenye tanuru la kiwanda cha saruji wazo.. Nao hawa wa Nchimbi mmesikia wamechanganya chumvi na sukari.. and the list goes on..! Huu ni uharibifu wa dawa halali na sukari na chumvi.. Kwani wanashindwa kuacha makopo matupu..?

 
cpati picha supplier aliyeuziwa huo mzigo anavyozidi kuharibu raia.
 
mwezi mmoja uliopita jeshi la polisi lilitangaza kukamatwa kwa magunia tisini ya bangi na ushahidi wa picha ulikuwepo
chakushangaza ni hayo magunia yalikua tisini pindi walipoyakamata,muda huu yamebaki kama mgunia matano nadhani.
sasa kama polisi kunaibiwa huku ngalolo tutakua salama kweli??
waandishi wa habari wanatakiwa wahji hili suala',walipoyakamata waliwaita ....vipi wakati wa uteketezaji kwanini hawkutaarifiwa??
My goodness yamebaki matano? He Basi hicho kituo wanaomcha Mungu wapo kidogo huku KWETU lisingebaki gunia hata moja wangeacha mawili matatu yenye TEMBELE KAVU... Chezea polisi Wa Jk weye.
 
Daah! wazee hii issue ni ngumu sana,tutapiga marktime sana kwenye KUPIGANIA MIHADARATI!
 
Ee sikuhizi wameanza kuchakachua bangu? Maana zamani bangi ikikamatwa huwa inachomwa ila cocain au heroin zilikuwa zinayryuka
 
We hii mvua hauioni ??
Mengine yamesombwa na mafuriko.

ndio maana wakati mwingine ukienda polisi unawakuta macho mekunduu halafu wakali!kumbe wanamsubiri mkuu wa kituo aende lunch wao wapige mambo!
 
My goodness yamebaki matano? He Basi hicho kituo wanaomcha Mungu wapo kidogo huku KWETU lisingebaki gunia hata moja wangeacha mawili matatu yenye TEMBELE KAVU... Chezea polisi Wa Jk weye.

kwi kwi kwii..uuwi!dunia ina mambo!
 
dah....manina hawa wanavyoharibu watoto wa watu....nina uchungu nao kweli.......
 
ndio maana wakati mwingine ukienda polisi unawakuta macho mekunduu halafu wakali!kumbe wanamsubiri mkuu wa kituo aende lunch wao wapige mambo!

..........halafu hapo majibu ya kunya kunya ni mfululizo !...kumbe wamelupuliza !
 
Vielelezo vinatunzwa bohari kuu dar hayo matano ni sample ya magunia yaliyokamatwa
 
ndio maana wakati mwingine ukienda polisi unawakuta macho mekunduu halafu wakali!kumbe wanamsubiri mkuu wa kituo aende lunch wao wapige mambo!
Ha ha ha,
Au even Mkuu mwenyewe wanagonga nae vitu wote!!
 
Back
Top Bottom