mudy92
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 671
- 531
Wasalaaam!
kwanza niombe Msamaha kwa Mola wangu "astghafirullah,astaghafirullah,astaghafirullah" mola wangu nisamehe...
Ndugu zangu Ujana umenivunjia Heshima, Jana Wakati wa Adhuhuri nilipata BANGI ilo kuwa Mixed na Sigara/tumbaku lakini matokeo yake haikuwa Tema Starehe ila Mateso Mapigo tya Moyo yalikuwa Juu sana Nikahisi Nakufa Soon.
Ilibidi niwaambie Majirani kuwa Najiskia Vibaya Sana wanipeleke hospital Japo baadae nilibadili Uamuzi na Kutulia Nione hali itakuwaje. Alhamdulillah Hali ikawa shwari japo hadi leo nahisi uchovu wa Mwili!!
NIMEJIONA SINA MAANA.
BANGI SIO NZURI
kwanza niombe Msamaha kwa Mola wangu "astghafirullah,astaghafirullah,astaghafirullah" mola wangu nisamehe...
Ndugu zangu Ujana umenivunjia Heshima, Jana Wakati wa Adhuhuri nilipata BANGI ilo kuwa Mixed na Sigara/tumbaku lakini matokeo yake haikuwa Tema Starehe ila Mateso Mapigo tya Moyo yalikuwa Juu sana Nikahisi Nakufa Soon.
Ilibidi niwaambie Majirani kuwa Najiskia Vibaya Sana wanipeleke hospital Japo baadae nilibadili Uamuzi na Kutulia Nione hali itakuwaje. Alhamdulillah Hali ikawa shwari japo hadi leo nahisi uchovu wa Mwili!!
NIMEJIONA SINA MAANA.
BANGI SIO NZURI