Lowassa chaguo la Mungu kamwe hatutamuachaaaaaa,you are welcome
Kalikuwa hakajapata shoo muda mrefu kwa hiyo katakuwa kalipania sana, sasa na timu wema inampelekesha anaambiwa ole wake asipoposti habari za ccm hawatampigia kura tena kwenye ktma, kameona kale bhangi kujisahaulisha matatizo hasa ukidhingatia na joketi mwenyewe ana "rambo" na mashabiki wenyewe washaanza kumtusi.
Kalikuwa hakajapata shoo muda mrefu kwa hiyo katakuwa kalipania sana, sasa na timu wema inampelekesha anaambiwa ole wake asipoposti habari za ccm hawatampigia kura tena kwenye ktma, kameona kale bhangi kujisahaulisha matatizo hasa ukidhingatia na joketi mwenyewe ana "rambo" na mashabiki wenyewe washaanza kumtusi.
hahahahahahahaha nooma sana!! wameingia mitini,
hahahahahahahaha nooma sana!! wameingia mitini,
Kuna mmoja aliniambia msanii wao atumii kilevi wala havuti namgojeea hapa
Shigongo katika ubora wake
Ana laana ya kusaliti watanzania,kavutishwa na makada wa magamba,akome na makofia yake ya mikeka
Basi zinamchanganya Sana huyu jamaa akili ndogo
Ni mwendelezo wa laana za usaliti wa mabadiliko
Middle finger
Oya vipi? hahahahaha