Bangi ni dawa, Bangi Katika Agano la Kale

Averoes

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2014
Posts
985
Reaction score
513
Utafiti unaendela kuhusu matumizi ya bangi athari zake na faida yake.
Cha kushangaza kuna wasomi wazito wamegundua kuwa Bangi au Canabis ikitumika katika jamii tokea enzi za mitume ikiwemo enzi za Nabii Musa na Yesu fuata link hizi upate ufaham


Tanbihi: Binafsi siungi mkono matumizi wala biashara yoyote inayohusu mihadarati au bagi na madwa yoyotè. Walaaniwe wasambazaji na wauzaji madawa hayo katika jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…