Bangi si mchezo

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,743
Reaction score
25,564
Wavuta bangi watatu wamevunja duka la dhahabu ili waibe,
Mmoja kachukua dhahabu, wa pili kachukua pesa , wa tatu kakaa dukani,
Mwenye duka kaja na polisi kufungua mlango wakamkuta jamaa kakaa mguu juu ya mguu
Akaulizwa: kwa nn hukutoroka kama wenzako..??
Kajibu: Sisi tulikuwa watatu mmoja kachukua dhahabu, mwengine pesa na mm nimechukua duka
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…