Bangi

Miss Pirate

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2010
Posts
305
Reaction score
75
Kuna jamaa walikuwa wanavuta bangi, kiberiti kikaisha. Wakamtuma mwenzao mmoja nje akatafute kiberiti, yule jamaa aliyetumwa akatoka akazunguka na kurudi tena ndani kwa wenzake akawauliza 'jamaa mna kiberiti mniazime?'

Wenzake wakamjibu, 'kaa usubiri kuna mwenzetu tumemtuma'
 
... Marukaka nlikuwa napita tu mie...:clap2::clap2:
 
ha ha ha....jiyo sio bangi hiyo heroin naona...
 
Kule uswahili kuna bangi inaning'inizwa kwenye shimo la choo kwa wiki moja ili iwe kali.
 
Hao watakuwa mateja (unga)......wa bangi hawapotezi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…