Bank ABC yauzwa kwa acces bank na kuzua taharuki kwa walioomba mikopo

Bank ABC yauzwa kwa acces bank na kuzua taharuki kwa walioomba mikopo

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
ABC wamerusha taulo,
Na kuuzwa kwa access bank,
Lakini kuna wateja ambao walikuwa wameomba mikopo kipindi kabla ya June 1,

Hata hivyo mpaka sasa nikizungumkuti,

Kwani hakuna malipo yoyote yamefanyika toka tarehe moja,
Na hata nilipo jaribu kufika ofisini kwao
Nilijibiwa kwamba wapo kwenye maboresho,

Kifupi kuna dalili ya watu kuanza kukatwa marejesho kabla ya kupata hela,...

Ee mola okoa waja wako
😝😝😝

Mytake
Poleni mliomba mikopo kwa bank hii,
Kwasasa tujifunze kuwa sio kila bank ni bank..
Wengine ni wahuni tu

=======

Access Bank Plc has completed the acquisition of African Banking Corporation of Tanzania (ABCT) Limited, a subsidiary of Atlas Mara Limited, through a majority equity stake, initially announced in July 2023.

Access Bank plans to merge ABCT with the consumer, private, and banking businesses of Standard Chartered Bank Tanzania, which it is also set to acquire. This merger will form Access Bank Tanzania.

Access Bank stated that Access Bank Tanzania will prioritise customer satisfaction, financial inclusion, and technological advancement to drive positive change and growth in the country.
 
ABC wamerusha taulo,
Na kuuzwa kwa access bank,
Lakini kuna wateja ambao walikuwa wameomba mikopo kipindi kabla ya June 1,

Hata hivyo mpaka sasa nikizungumkuti,

Kwani hakuna malipo yoyote yamefanyika toka tarehe moja,
Na hata nilipo jaribu kufika ofisini kwao
Nilijibiwa kwamba wapo kwenye maboresho,

Mytake
Poleni mliomba mikopo kwa bank hii,
Kwasasa tujifunze kuwa sio kila bank ni bank..
Wengine ni wahuni tu
Access Bank wameinunua ABC Bank au vipi? Hebu weka sawa hilo.
 
ABC wamerusha taulo,
Na kuuzwa kwa access bank,
Lakini kuna wateja ambao walikuwa wameomba mikopo kipindi kabla ya June 1,

Hata hivyo mpaka sasa nikizungumkuti,

Kwani hakuna malipo yoyote yamefanyika toka tarehe moja,
Na hata nilipo jaribu kufika ofisini kwao
Nilijibiwa kwamba wapo kwenye maboresho,

Mytake
Poleni mliomba mikopo kwa bank hii,
Kwasasa tujifunze kuwa sio kila bank ni bank..
Wengine ni wahuni tu
Kuwa na subra, haki yako utaipata.
 
ABC wamerusha taulo,
Na kuuzwa kwa access bank,
Lakini kuna wateja ambao walikuwa wameomba mikopo kipindi kabla ya June 1,

Hata hivyo mpaka sasa nikizungumkuti,

Kwani hakuna malipo yoyote yamefanyika toka tarehe moja,
Na hata nilipo jaribu kufika ofisini kwao
Nilijibiwa kwamba wapo kwenye maboresho,

Mytake
Poleni mliomba mikopo kwa bank hii,
Kwasasa tujifunze kuwa sio kila bank ni bank..
Wengine ni wahuni tu
Na Access bank imeuzwa kwa Selcom.
 
Back
Top Bottom