Bank gani inatoa mikopo ya biashara kwa riba nafuu

jonas2011

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2011
Posts
311
Reaction score
122
Wadau nina biashara yangu nataka ongeza mtaji sasa nataka kopa Bank kwa dhamana ya hati ya nyumba,hivi ni Bank gani wako na riba nafuu zaidi.

Naomba kujuzwa mwenye ufahamu wa kutosha nipate pa kuanzia.
 
Nenda NMB riba yao naona iko vizuri nilikopa 10mil nilirudisha kama 1.3mil interest yao
 
Yap ukirejesha kwa muda mfupi riba inapungua mfano kwa miezi 6 ukichukuwa 3m unarudusha riba ya 210,000 tu.
 
Ila hata AZANIA wako poa sana, km unavigezo ndani ya siku 5 umepata, ns riba iko bizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…