Bank gani isiyo na charges katika kutoa pesa ATM

nagmaras

Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
45
Reaction score
26
Naomba kufahamishwa ni Bank ipi haina makato katika kutoa pesa ATM, na makato madogo katika kuhamisha pesa kwenda Mpesa au Tigo pesa.
 
Mie naamini hakuna....yaan usipocheza fresh laki1(yaan uhamishe ndogondogo) kuhamisha kitu kinaweza kukatwa hata 20!..Tena kutoa bank kupeleka kwa simu ndo majanga ..
Njia sahihi kidg Bora kutoa kwa wakala...naskia ni cheap kidg!
 
Equity, kwa sh. 400k wanakata sh. 700 tu.

Kuhamisha pesa kutoka benki kwenda kwwnye simu hilo ndo majanga. Utapigwa mpaka uchakae. Nadhan mitandao ya simu ndo wanahusika kweny hii transaction.

Yaan naona wengi hawajagudnua .Mie ilibidi niende kbs bank kuhakiki...mashenzi Sana ..equity ni sawa na nmb tu
 
Yaan naona wengi hawajagudnua .Mie ilibidi niende kbs bank kuhakiki...mashenzi Sana ..equity ni sawa na nmb tu
Mm ni mtumiaji wa equity sana. Na nina uhakika na ninachokiandika. Wanakata 700 kwa kila laki 4. Ila ukienda kutoa kwa teller ni 1500.

Labda kama kuna kajanja kadha wa kadha kwa baadhi ya wateja .
 
Mm ni mtumiaji wa equity sana. Na nina uhakika na ninachokiandika. Wanakata 700 kwa kila laki 4. Ila ukienda kutoa kwa teller ni 1500.

Labda kama kuna kajanja kadha wa kadha kwa baadhi ya wateja .
Wengi wanasema equity iko vizuri maana NMB katika transaction ya 74k wanikata zaidi ya 4000 na hata nilipolipia DSTV wamekata pia na VAT juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…