Super H
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 1,070
- 405
Heshima kwenu wakuu.
Hivi ikiwa mteja anadaiwa bank "A" wanaouwezo wa kukuzuia kukopa bank. "B" ikiwa labda kule A ulitela ukorofi wa kuacha kulipa na labda wakauza dhamana etc?
na Je Bank wanaouwezo wa kublock pesa kwenye acount nyingine ya mteja bank nyingine ili kulipa deni?
_na je afisa wa bank anaouwezo wa kwenda bank nyingine kupata taarifa za mteja wa bank yao.
_Ni maswali huwa najiuliza bila majibu na natumai hapa nitapata majibu.
_senkyu!
Hivi ikiwa mteja anadaiwa bank "A" wanaouwezo wa kukuzuia kukopa bank. "B" ikiwa labda kule A ulitela ukorofi wa kuacha kulipa na labda wakauza dhamana etc?
na Je Bank wanaouwezo wa kublock pesa kwenye acount nyingine ya mteja bank nyingine ili kulipa deni?
_na je afisa wa bank anaouwezo wa kwenda bank nyingine kupata taarifa za mteja wa bank yao.
_Ni maswali huwa najiuliza bila majibu na natumai hapa nitapata majibu.
_senkyu!