Bank ipi ipo vizuri mikopo?

Bank ipi ipo vizuri mikopo?

Rjohn

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
613
Reaction score
128
Wadau habari?

Naomba hiyo tittle ihusike, niambieni ipi ni bank ambayo naweza kukopa ikiwa na unafuu wa riba na makato. Mimi ni Mtumishi wa Serikali, naomba msaada wenu kujua kat ya NMB, CRDB, Postal.

Nataraji kupata msaada wenu wenye uzoefu au ufahamu juu ya hilo..

Nawasilisha!
 
Wadau habari?

Naomba hiyo title ihusike,niambieni ipi ni bank ambayonaweza kopa ikiwa naunafuu wa riba na makato mimi ni mtumishi wa serikali, naomba msaada wenu kujua kati ya NMB, CRDB na Postal.

Nataraji kupata msaada wenu wenye uzoefu au ufahamu juu ya hilo..

Nawasilisha!
 
Wadau habari?
Naomba hiyo tittle ihusike ,
niambieni ipi ni bank ambayo
naweza kopa ikiwa naunafuu wa
riba namakato mimi nimtumishi
wa serikali , naomba msaada
wenu kujua kat ya nmb,crdb na
postal , nataraji kupata msaada
wenu wenye uzoef au ufaham
juu ya hilo
nawasilisha!
 
Nilienda crdb wakanieleza makato yao , nikahisi nafuu ila nikajiulza nafuu kwa ipi?? So nikaenda na postal nikakuta kama nafuu kuliko crdb ,so nimegundua hawa wapo kibiashara zaidi kila mtu anavutia tu kwake na ndo maana nataka uzoef kwenu
 
Vipi pia upande wamakato riba ipo chini ukilinganisha na hiz bank nyingine au ndo sawa au zimezid.?
 
Wadau habari?
Naomba hiyo tittle ihusike ,
niambieni ipi ni bank ambayo
naweza kopa ikiwa naunafuu wa
riba namakato mimi nimtumishi
wa serikali , naomba msaada
wenu kujua kat ya nmb,crdb na
postal , nataraji kupata msaada
wenu wenye uzoef au ufaham
juu ya hilo
nawasilisha!

ACB wapo poa zaidi! Lakini pia kuna bank zipo OK shida ni watendaji hasa maafisa mikopo, ukimpata kimeo ni shida
 
FINCA- TZ ndo wako vizuri sana Tangu iwe Bank. Hamna longolongo mkuu
 
Mikopo ni wizi wa kistaarabu. Unakopa mkopo kisha riba ni asilimia 58 (effective loan interest rate).
 
Ahsanteni nyote kwamichango
 
Nenda posta au crdb wewe huko kwingine utaliwa kichwa.....hawa jamaa wanatoa pesa ndefu in such a way that you can do something na unarudisha kwa muda mrefu zaid till 60 month!
 
Yaani hakuna mwenye figure... Wote wamejibu kama walivyosimuliwa...
 
Back
Top Bottom