Bank Swift Transfer

Gushleviv

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2011
Posts
3,475
Reaction score
5,290
Habari zenu wadau, naomba kujuzwa ni mfumo upi kati ya hiyo mifumo hapo chini unatumika katika Bank za Tanzania?


1⃣ Swift MT104 GPI

2⃣ Swift GPI MT103 direct cash transfer

3⃣ Swift GPI with code

4⃣ Swift GPI automatic / with UETR Code

5⃣ Swift GPI semi-automatic / with UETR Code

6⃣ Swift GPI Manual Download / with UETR Code

Natanguliza Shukrani zangu za dhati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…