DOKEZO BANK ya ABC inadaiwa kutapeli Walimu

DOKEZO BANK ya ABC inadaiwa kutapeli Walimu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Hii bank kuna walimu wanaipigia kelele kwamba wanakata deductions kabisa za makato ya mkopo ambao hawajautoa kabisa na wakipigiwa simu wanajibu kirahisi shida mfumo. Sasa kama shida ni mfumo mbona kwenye kukata tena ambacho hamjampa muhusika mfumo hausumbui?

Vyombo vya dola chunguzeni hii kausha damu.

Source: watumishi ambao wameomba mkopo wameomba niwasemee humu jamiiforum wakiamini mamlaka zitasikia.
 
Moderarors huu uzi msiufunge pia ikiwezekana muupeleke kule kwenye malalamiko ili pia waweze kujitetea kama sio kweli.
 
Mwalimu kwenye moja na mbili akiwapelekea pumzi ya moto wakopeshaji
IMG-20240802-WA0045.jpg
 
Hao jamaa hawana tofauti na wale wenzao wa Bayport na Platinum.
Hizi taasisi zinalalamikiwa sana sijuwi kwanini watu wanapenda kwenda huko na mamlaka ziwachukulie hatua kwa wanavyofanya ikibidi zifungiwe.Pia kuna haja ya bank kuu kurusu bank pekee tu zinazotoa huduma rasmi za kibeki na siyo viataasisi uchwara
 
Back
Top Bottom