Kiambafuli
Member
- Aug 16, 2015
- 9
- 0
Wakuu embu nihabarisheni kwa uelewa wangu
Nimesikia from clouds media. Kuwa Bodi ya
Bima ya Amana itawalipa Wateja kiasi cha juu
1.5m bila kujali mteja alikuwa na kiasi gani .
Wenye kiwango chini ya 1.5m watalipwa
Zote. How this coming ??
Nimesikia from clouds media. Kuwa Bodi ya
Bima ya Amana itawalipa Wateja kiasi cha juu
1.5m bila kujali mteja alikuwa na kiasi gani .
Wenye kiwango chini ya 1.5m watalipwa
Zote. How this coming ??