Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 314
Ndugu
mi ni mfanyakazi niliyoajiriwa na Katibu Mkuu wizara ya maji
net pay yangu ni sh. 387,800 kwa mwezi.
Je, ni bank gani naweza kukopa kiasi cha zaidi sh. 5 million na riba nafuu?
Nawasilisha
mi ni mfanyakazi niliyoajiriwa na Katibu Mkuu wizara ya maji
net pay yangu ni sh. 387,800 kwa mwezi.
Je, ni bank gani naweza kukopa kiasi cha zaidi sh. 5 million na riba nafuu?
Nawasilisha