Banki inayotoa mkopo kwa wafanyakazi wenye riba nafuu

Banki inayotoa mkopo kwa wafanyakazi wenye riba nafuu

Kichwa Ngumu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,726
Reaction score
314
Ndugu
mi ni mfanyakazi niliyoajiriwa na Katibu Mkuu wizara ya maji
net pay yangu ni sh. 387,800 kwa mwezi.
Je, ni bank gani naweza kukopa kiasi cha zaidi sh. 5 million na riba nafuu?

Nawasilisha
 
Kuna NMB,POSTA,MWANANCHI hizo ndizo benki zinazotoa mikopo kwa riba ndogo.
Ni vizuri kama ungetoa mfano ili mhusika akuelewe vema.
Unakopa shilingi ngapi, utarudisha shilingi ngapi?Utatakiwa kurudisha baada ya muda gani? Utarudisha kwa mikupuo mingapi? nk
 
Back
Top Bottom