Banki tano zote zimeniambia sikopesheki japo nina asset kama dhamana


Ndugu yangu Kajole hapo kwenye mchango wa Franz ameainisha kitu muhimbu ambacho wengi wetu huwa tunasahau/hatukizingatii sana, nacho ni "mahusiano na benki husika". Binafsi naamini itasaidia iwapo kabla ya kwenda kuomba mkopo muombaji awe tayari anamahusiano na benki husika. wafanyakazi wengi na wafanyabiashara tayari wanakuwa na mahusiano na benki zao kwani wanaakaunti kwenye hiyo benki au pesa zao tayari zinapia kwenye hiyo benki. Hivyo basi wanapowasilisha vielelezo vingine inakuwa rahisi kwao kupatiwa mikopo.
 
kwanza asante sana kwa maelezo mazur yenye kujenga yaan ni bonge la elim...pia nasisitiza posts za hapo juu ni za kijinga sana ni za kupiga ramli tu hazina lolote wanabwabwaja tu hawajui lolote mbona wameshindwa kuelimisha kama ulivyofanya sasa?,ni majuha tu maana wanasema vitu wasivyovijua mara pengine ana nyumba nan kamwambia nina nyumba?,mara hana business plan amejuaje kama sio ramli hyo?
 
Inasikitisha sana....Bank hawataki kusikia kitu inaitwa entrepreneur[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Nao wanafanya biashara..hawawezi kukupa tu mkopo kienyeji tu!! Lazima wajiridhishe ni namna gani utaweza kurejesha, mikopo siyo sadaka!!
 
Reactions: WFM
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…