Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Ukweli lazima usemwe
Watu wa kabila la banyamulenge huko kivu kusini wamehamia hapo tokea karne ya 18 hivyo wao ni raia halali na siyo wavamizi
Wamekuwa wakibaguliwa , kunyanyaswa, kuteswa, kubaguliwa na kuuawa na makabila mengine pamoja na Serikali
Bila aibu Serikali ya Mobutu iliamua kuwapokonya uraia wao 1996 na kisha kuazimia kuwafukuza nchini kana kwamba wao ni wakimbizi
Makabila kama wabembe wamewachukia wanyamulenge miaka mingi na ukifuatilia ni visa au sababu za kipuuzi kabisa eti wamejitenga, wanajisikia, wana dharau na wanajiona.
Banyamulenge ni matajiri kutokana na shughuli za ufugaji na desturi zao ziko tofauti kidogo na makabila mengine hivyo hiyo ndiyo imechangia chuki kubwa dhidi yao!
Wlianza kuteswa baada ya uhuru 1960 lakini kabla ya hapo walikuwa wakiishi kwa amani na wenzao
Ni wachapakazi na hodari kwenye mambo mengi hata jeshini na walichangia pakubwa kumuondoa Mobutu na kuikomboa drc
Banyamulenge lazima wajitetee kwa nguvu zote hivyo PK nakuunga mkono endelea kuwapelekea moto hao wabaguzi na wauaji wakubwa
Kama Serikali imewachoka basi waruhusiwe kujitenga na kuwa na nchi yao ya kivu kusini
Viva banyamulenge
Viva PK
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima
Ukweli lazima usemwe
Watu wa kabila la banyamulenge huko kivu kusini wamehamia hapo tokea karne ya 18 hivyo wao ni raia halali na siyo wavamizi
Wamekuwa wakibaguliwa , kunyanyaswa, kuteswa, kubaguliwa na kuuawa na makabila mengine pamoja na Serikali
Bila aibu Serikali ya Mobutu iliamua kuwapokonya uraia wao 1996 na kisha kuazimia kuwafukuza nchini kana kwamba wao ni wakimbizi
Makabila kama wabembe wamewachukia wanyamulenge miaka mingi na ukifuatilia ni visa au sababu za kipuuzi kabisa eti wamejitenga, wanajisikia, wana dharau na wanajiona.
Banyamulenge ni matajiri kutokana na shughuli za ufugaji na desturi zao ziko tofauti kidogo na makabila mengine hivyo hiyo ndiyo imechangia chuki kubwa dhidi yao!
Wlianza kuteswa baada ya uhuru 1960 lakini kabla ya hapo walikuwa wakiishi kwa amani na wenzao
Ni wachapakazi na hodari kwenye mambo mengi hata jeshini na walichangia pakubwa kumuondoa Mobutu na kuikomboa drc
Banyamulenge lazima wajitetee kwa nguvu zote hivyo PK nakuunga mkono endelea kuwapelekea moto hao wabaguzi na wauaji wakubwa
Kama Serikali imewachoka basi waruhusiwe kujitenga na kuwa na nchi yao ya kivu kusini
Viva banyamulenge
Viva PK
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima