mabao matatu unataka ya nini? kwani unataka kumkomoa? mimi kiukweli sioni hili tatizo unalocapitalize, as long as both of you get satisfied sioni kwa nini unataka mabao 3 wtf? Tubadilike, tuangalie sex from a different angle na sio tu kupiga mabao,..........sorry kama nimekukwaza.
karibu sana mkuu!:smiling:Nashukuru sana kwa ushauri wako Pape, nitafuata maelekezo hayo
Bao moja unapoteza Dakika 3 za maisha unless umekula chakula cha kufidia maisha yako.Kama umezoea chips kuku(zenye arv) afu unataka mabao kama Portugal walivyoifunga Korea basi unajiua mwenyewe.
Ndiyo maana umri wa maisha ya mtanzania/mwafrika ni chini ya miaka 45 (kama sikosei); endapo huu msemo wako ni wa kweli!!:biggrin1:Bao moja unapoteza Dakika 3 za maisha unless umekula chakula cha kufidia maisha yako.Kama umezoea chips kuku(zenye arv) afu unataka mabao kama Portugal walivyoifunga Korea basi unajiua mwenyewe.
Bao moja unapoteza Dakika 3 za maisha unless umekula chakula cha kufidia maisha yako.Kama umezoea chips kuku(zenye arv) afu unataka mabao kama Portugal walivyoifunga Korea basi unajiua mwenyewe.
Nimekuelewa Carmel. shida ni kwamba ukikaa na washkaji kila m2 anajisfia kwa uhodari wa kupiga mabao
Charity, naomba uthibitishe kauli yako tafadhali.