Bao moja hoi


wakapime HIV na kama majibu ni (-) wapate sex education halafu wapige nyama nyama!
 
Mengi yamesemwa; Hao wapenziwakae na kujadili hilo walione kuwa ni tatizo na kwa kusaidiana watalimaliza sio suala la mtu mmoja peke yake
 
Sishauri waache kutumia condom kama ni mpenzi tu,jamaa atumie delay spray zinauzwa pharmacy zote angalau atapiga dakika 10-15 na kwakuwa anavaa condom zinaweza ongezeka.Watu wengi condom zinawachelewesha sasa huyu asisingizie condom ana premature ejaculation.
 
We una uhakika au unaongea ongea tu hapa. Mi huwa napiga goli nne kama mchezo tu. And guess what I knw how 2 make luv and yeah I also knw how to f**k.
 


Kaka sikushauri utafute dawa ya mabao kibao, ukioa hayo mabao utapiga utakavyo kwani hutatumia ndomu that time ila kwa sasa hicho kimoja kinatosha ili kuepusha maambukizo ya maradhi kama ukimwi na magonjwa ya zinaa.
 
Mkuu unaniangusha kabisa hapa. Yaani hiyo xp yako ndiyo unataka kuitumia ku-generalize!!!!!!!!! Kuna mademu kibao tu wanapenda sana long and frequent sex na wanaenjoy na wala hawalalamiki kuwaka moto au sijui maumivu.
 


Kunywa kiroba.
 
We toto Triple D inabidi nikutafute maana inaonekana kwenye haya mambo ya malavi davi uko juu aisee. (Ni-PM basi tuongee vizuri.)
 
We toto Triple D inabidi nikutafute maana inaonekana kwenye haya mambo ya malavi davi uko juu aisee. (Ni-PM basi tuongee vizuri.)
hahahaaaa!! kuna ma-pro humu bana!! usije ukahesabiwa mpaka tano na wewe!!!
 
pole sana inabidi amuone Dr hii sio kawaida 1.2.3.4.5 . ................................
 
pole sana inabidi amuone Dr hii sio kawaida 1.2.3.4.5 . ................................

Yap, jamaa yawezekana ana matatizo. Ila pia kuna mambo mawili hapa.
1.jamaa huwa anapewa mzigo kwa mara chache i.e 2 or 3 per 3months.so huwa anakamia sana kuusikilizia utamu.
2.jamaa amechelewa maturity na kuujua utamu wa mzigo,so ni kiumbe dhaifu ikiona utamu.
Ni hayo 2 waungwana.
 
Mh! hii story mbona kama ya studio?
hahahahahahah kuna kila dalili
ila inawezekana rafiki kauziwa dili
Dear wewe unaenda ngapi au mbili
Lutalo alikwea kiume wewe umekuja kinyumenyume
 
Jiamini kuwa unaweza hata bila hayo matatu yanayokuweka roho jujuuu. Otherwise kuchamba kwingi..............
 
Maisha ya mahusiano kama yana endeshwa kwa story za ijiweni huwa yanasumbua sana. Imagine sasa unataka kuwahi kufa kwasababu vijiweni kuna story zisizothibitishwa za kupiga goli nyingi!
Kitu kingine ni vizuri kuongeza physical fitness yako maana inasaidia kuwa na nguvu za ziada za kupanda mpaka kilele cha mlima wa kilimanjaro.
 
hizi issue za kwenda mabao matatu...ni UONGO...unless huyo unayekutana naye HAMFANYI MARA KWA MARA...unakutana naye once in a while...labda!
ila kama mkeo/mpenzi wako mnakutana 'regularly'...kwenda bao moja ni NORMAL,usisikilize stori za vijiweni ndugu,cha muhimu ni kuimprove pafomansi yako,,,hata kama ni moja liwe more fulfiling....
 
Karanga ni dawa mmoja wapo. Ukila tu unaweza washwa na hamu kwa saana na nguvu inakuwepo,waweza ishia mabao nne kama hali ikiruhusu.

Pili supu na maji ya kutosha ya kunywa,usipokunywa maji ya kutosha mwili unakuwa mdhaifu,lakini ukinywa maji mengi ya kutosha mwili unakuwa una nguvu.

Tatu,Ukipumzisha mwili,mara nyingi asubuhi n9 muda mzuri kucheza game na jioni kama umepumzika vizuri.

Nne,Ondoa stress za kimaisha,jipe uhuru ubongo wako.

KINGA MUHIMU LAKINI...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…