Bar maarufu ya Mwanga Bar Dodoma wanatuuzia chakula na mataka yakiwa mbele ya jiko. Usalama wetu walaji uko wapi?

Bar maarufu ya Mwanga Bar Dodoma wanatuuzia chakula na mataka yakiwa mbele ya jiko. Usalama wetu walaji uko wapi?

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
Wale tunaokujaga dodoma nadhani tunaifaham bar maarufu kwa misosi ya Mwanga Bar iliyopo Jijini Dodoma, nikiwa natoka zangu safari kanda ya ziwa nikasema nipite kula hapo kilichonishangaza ni rundo la matakataka ambayo inaelezwa yapo hapo kwa siku ya tano leo uku uandaaji wa chakula ukiendelea bila shaka na watu wameendelea kula kuku zinazoandaliwa karibu kabisa na matakataka hayo

Na mvua hizi zinazoendelea kunyesha nahakika kipindupindu na magonjwa ya kuharisha ni jambo la muda tu kwa watumiaji.


 
Back
Top Bottom