Hawa Osha sijui wanafanya kazi gani. Ni ama wakienda huko wanapewa hela wamalizane tu au hawaendi kabisa. Ndo shida ya waajiriwa wa serikali wakishaajiriwa hawafanyo kazi tena tofauti na ambapo osha ingekuw private sector.
Ndo mana hata jpm alikosea sana ATC na TTCL kuzifanya ziwe monopoly na kuua ushindani. Serikali haiwezi kufanya service effectively mana ni kama hakuna mwenye serikali wanategeana tu
Ndo mana hata jpm alikosea sana ATC na TTCL kuzifanya ziwe monopoly na kuua ushindani. Serikali haiwezi kufanya service effectively mana ni kama hakuna mwenye serikali wanategeana tu