Duh! Haya ni maneno makali sana.. Ulitakiwa uyachovye baharini mara 7 kabla ya kuyaleta hapa JF.hivi nyie wanafisiem kwanini mnakuwa na roho za ichawi ivo ulitaka wakajae kwa mama yako?
Tabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu.
Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni hautamwamini kamwe.
Watu wanapiga mitungi kama kawa mpaka majogoo.
Ohoooo!!!hivi nyie wanafisiem kwanini mnakuwa na roho za ichawi ivo ulitaka wakajae kwa mama yako?
Kwa hyo we unatakaje!acha wivu wa kikeTabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu.
Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni hautamwamini kamwe.
Watu wanapiga mitungi kama kawa mpaka majogoo.
Dah.... Acha kupotosha umma bana..... Kilichobanwa pesa ya mazabe....... Kama ulikuwa unapiga kihalali kwa jasho mbona michongo imebaki PALEPALE[emoji13] [emoji13]Tabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu.
Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni hautamwamini kamwe.
Watu wanapiga mitungi kama kawa mpaka majogoo.
Ww sema una roho mbaya... inakusumbua. Watu wakinywa bia zao mpaka kesho.. ww inakuuuma nn...? Kama una uwezo ni wewe... acha uchawiTabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu.
Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni hautamwamini kamwe.
Watu wanapiga mitungi kama kawa mpaka majogoo.
kayaman, kina mama waheshimiwe si vema kuwahusisha na vitu ambavyo hawavijui, tuwahurumie mama zetuhivi nyie wanafisiem kwanini mnakuwa na roho za ichawi ivo ulitaka wakajae kwa mama yako?