Sikumchagua mpiga pushap na siwezi kumchaguaTangu lini ulimchagua Msukuma wewe??
Umejaa unafiki mtupu.
Kila siku kulia lia hamna hela mfukoni, kumbe mna mihela ya kutumbua
Sasa kama hukumchagua kwa nini unaleta kisebengo cha kusema atajichagua 2020??Sikumchagua mpiga pushap na siwezi kumchagua
Hangaika na buku 7 njaa kari ww mnatumika km Condom wenzenuSasa kama hukumchagua kwa nini unaleta kisebengo cha kusema atajichagua 2020??
Yani watanzania waache kuchagua Magufuli, wachague chama la wauza madawa ya kulevya chadema??
Mtasubili sana
Acha ushoga wewe yanakuhusu nini kama zinajaa nawe jenga lakoTabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu.
Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni hautamwamini kamwe.
Watu wanapiga mitungi kama kawa mpaka majogoo.
Thread za Kibashite hizi.Tabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu.
Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni hautamwamini kamwe.
Watu wanapiga mitungi kama kawa mpaka majogoo.
Tabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu.
Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni hautamwamini kamwe.
Watu wanapiga mitungi kama kawa mpaka majogoo.
Kwa taarifa yako baba Bashinenga hakubaliki hata kidogo, simply pitia tu humu Jf ndio utajua statistics ilivyo, na hivi ndivyo hata huko nje ilivyoSasa kama hukumchagua kwa nini unaleta kisebengo cha kusema atajichagua 2020??
Yani watanzania waache kuchagua Magufuli, wachague chama la wauza madawa ya kulevya chadema??
Mtasubili sana
mwenzio kaiangalia "beere" tu, hajaiona hiyo production/consumer chain! ukimuelewesha bado atasema "mashetani haoo"...interesting!Uchumi wa marekani uko juu kwasababu ya consumerism,
kadri unavyofakamia kwa kasi ndo pia unachangamsha uzalishaji zaidi na hivyo ajira zaidi,
kama watu wanajaa sana pale,ina maana bia zitanyweka sana ,mishikaki italika sana,kuku watatafunwa sana etc,
hapo umeongeza ajira kwa muuza mkaa,muuza nyanya,karoti,kitunguu,chumvi na kabichi,
mafuta ya kula,
umeongeza ajira kwa wakulima wa vitu hivyo na wabeba mizigo wanaoushusha bia,viwanda vya bia vinaongeza uzalishaji,watu wanapata ajira na kupeleka watoto shule,mwenye shule nae amepata kipato tokana na kodi hiyo,
changudoa nae kapata ajira na pesa analipa pango ,analipa ada za watoto na anatuma hela za kulimia kijijini etc.
Kama sizonje hajui hili mumueleweshe
Ha ha ha ha.....kumbe kuna bar bado zinajaa Magufuli akaze sana hasa Dar haiwezekani watui bado wana lewa lewa hovyo badala ya kufanya kazi
Ziko maeneo gani mkuu, nijuze niwatembeleeTabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu.
Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni hautamwamini kamwe.
Watu wanapiga mitungi kama kawa mpaka majogoo.
Hapo ni BL alimaarufu makirikiri... Karibu tabataKiongozi, The Great Park ipo sehemu gani? Juzi jmosi usiku nimepita Kinyerezi karibu na njia panda ya majumba sita kuna bar moja ilikuwa imejaa hatari. Kulikuwa na utitiri wa watu wanaburudika, huku wale "warembo wetu" wakiwa tayari kutoa huduma, sijui ile bar inaitwaje!!