Bar za Tabata zinajaa sana, Magufuli endelea kukaza

Huyo msukuma katukuta na atatuacha hapa mjini tushazoea kula bats 2020 atajichagua
 
Tulikuambia ukasomee uaskofu ama? Acha wivu wa kike tuache tule monde
 
Huyo msukuma katukuta na atatuacha hapa mjini tushazoea kula bats 2020 atajichagua
Tangu lini ulimchagua Msukuma wewe??
Umejaa unafiki mtupu.

Kila siku kulia lia hamna hela mfukoni, kumbe mna mihela ya kutumbua
 
Tangu lini ulimchagua Msukuma wewe??
Umejaa unafiki mtupu.

Kila siku kulia lia hamna hela mfukoni, kumbe mna mihela ya kutumbua
Sikumchagua mpiga pushap na siwezi kumchagua
 
Sikumchagua mpiga pushap na siwezi kumchagua
Sasa kama hukumchagua kwa nini unaleta kisebengo cha kusema atajichagua 2020??

Yani watanzania waache kuchagua Magufuli, wachague chama la wauza madawa ya kulevya chadema??

Mtasubili sana
 
Sasa kama hukumchagua kwa nini unaleta kisebengo cha kusema atajichagua 2020??

Yani watanzania waache kuchagua Magufuli, wachague chama la wauza madawa ya kulevya chadema??

Mtasubili sana
Hangaika na buku 7 njaa kari ww mnatumika km Condom wenzenu
 
Acha ushoga wewe yanakuhusu nini kama zinajaa nawe jenga lako
 
Thread za Kibashite hizi.
 
Kwahiyo mnataka watu wasiende kuburudika?


Kama ngosha nae atakuwa na mawazo kama haya basi ni tatizo.
 
Sasa kama hukumchagua kwa nini unaleta kisebengo cha kusema atajichagua 2020??

Yani watanzania waache kuchagua Magufuli, wachague chama la wauza madawa ya kulevya chadema??

Mtasubili sana
Kwa taarifa yako baba Bashinenga hakubaliki hata kidogo, simply pitia tu humu Jf ndio utajua statistics ilivyo, na hivi ndivyo hata huko nje ilivyo

Bila mpira kuwekwa kwapani hakunaga ushindi wa kweli
 
mwenzio kaiangalia "beere" tu, hajaiona hiyo production/consumer chain! ukimuelewesha bado atasema "mashetani haoo"...interesting!
 
KUNA BAA MPYA IPO HAPA KINYEREZIGEREJI NI BALAA AISEE!!
 
kumbe kuna bar bado zinajaa Magufuli akaze sana hasa Dar haiwezekani watui bado wana lewa lewa hovyo badala ya kufanya kazi
 
Ziko maeneo gani mkuu, nijuze niwatembelee
 
Hapo ni BL alimaarufu makirikiri... Karibu tabata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…