Bara letu lina upendeleo wa wazi kwa kurundikiwa rasilimali, ni vipi tunaendelea kutegemea misaada na mikopo huku umasikini ukitusumbua?

Bara letu lina upendeleo wa wazi kwa kurundikiwa rasilimali, ni vipi tunaendelea kutegemea misaada na mikopo huku umasikini ukitusumbua?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Iwe ni madini, mbuga za wanyama, ardhi yenye rotuba, vyanzo vya maji, vivutia, n.k. you name it, vimerundikwa kwa upendeleo wa ajabu sana hili bara.

Yani ni ule upendeleo wa wazi wazi, Laiti kama haya mabara yalikuwa yametuma barua za maombi ya rasili mali kwa Mungu basi Africa alikuwa ni ndugu kipenzi wa Mungu, alipendelewa wazi wazi bila hata kuandika barua.

Ajabu ni kwamba tunaendelea kutegemea misaada na mikopo, Ni jambo la kushangaza sana, Ni sawa na sungura alie kwenye shamba lenye karoti analalamika njaa.

WHY?
 
Afrika ilipaswa iwe na lifestyle yake tofauti na ile ya wazungu...

Ila kwa sababu tunafosi tuwe na lifestyle ya kizungu ndiyo kama unavyoona tunabaki tuna-hang, kwetu hatupo na kwa wazungu hatupo..
 
Yote kasababisha mzungu.

Hakuna mtu mpole na mstaarabu kama muafrika.

Hakuna mahali vita ameanzishaga muafrika.

Ila mzungu kila mahali anapoenda ni "chaos" tupu.
 
Yote kasababisha mzungu.

Hakuna mtu mpole na mstaarabu kama muafrika.

Hakuna mahali vita ameanzishaga muafrika.

Ila mzungu kila mahali anapoenda ni "chaos" tupu.
Ila ujue Waafrika ndio wa kwanza kuanzisha ukoloni, unyanyasaji, na unyonyaji kwa Israeli miaka >400, wakapigwa laana nzito sana.

Wakoloni wa kwanza ni Waafrika; Wazungu wameiga tu kutoka kwao, na wanababia tu.

Walichofanikiwa Wazungu ni kutupoka ufunguo wa silaha za ukandamizaji, wakapindua meza.🤣🤣🤣
 
Mungu fundi alitoa mali akawanyima vichwa, nafuu uwe na kichwa usiwe na mali maana huku alitujazia vichwa boga tupu
 
Back
Top Bottom