A
Anonymous
Guest
Hali ya barabara hii, kwa kweli ni aibu.
Miaka nenda miaka rudi hakuna anayeliona hili. Tuna viwanda vikubwa katika barabara hii ya Kilwa kuanzia Mbagala kokoto barabara haifaii aibu, kila kukicha ajali haziishi, wananchi kuchelewa kutokana na foleni. TANROAD, Iko wapi? Kwanini hamwajibiki na majukumu yenu?
Barabara yenyewe finyu, aaahhh jamani mnatia aibu kila siku kutupa mabilioni kwa ujenzi wa barabara zingine huku Kilwa road mmeitelekeza au mnataka hapo pia mze Said Salim Bakhresa awekeze hela atakayepita hapo alipie huduma ya kujengewa? Kodi tunazotozwa zinaenda wapi?
Serikali nayo imekaa ikitizama ufisadi huu?
Miaka nenda miaka rudi hakuna anayeliona hili. Tuna viwanda vikubwa katika barabara hii ya Kilwa kuanzia Mbagala kokoto barabara haifaii aibu, kila kukicha ajali haziishi, wananchi kuchelewa kutokana na foleni. TANROAD, Iko wapi? Kwanini hamwajibiki na majukumu yenu?
Barabara yenyewe finyu, aaahhh jamani mnatia aibu kila siku kutupa mabilioni kwa ujenzi wa barabara zingine huku Kilwa road mmeitelekeza au mnataka hapo pia mze Said Salim Bakhresa awekeze hela atakayepita hapo alipie huduma ya kujengewa? Kodi tunazotozwa zinaenda wapi?
Serikali nayo imekaa ikitizama ufisadi huu?