Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Hii barabara inafanyiwa utani sana naambiwa kwasasa wameleta shindilia na boza huu ni utani sana kwa wananchi wa Jimbo hili.
Pia soma > Barabara ya Bigwa - Kisaki Serikali mnawachukuliaje hawa Waluguru wa Morogoro Kusini? Babu Tale na Kalogeresi waachieni majimbo CHADEMA nyie hamtoshi
Pia soma > Barabara ya Bigwa - Kisaki Serikali mnawachukuliaje hawa Waluguru wa Morogoro Kusini? Babu Tale na Kalogeresi waachieni majimbo CHADEMA nyie hamtoshi