Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani serikali ninani? Kama mmeshindwa kuweka lami barabara muhimu kama ile achieni majimbo ndio mtajua nguvu ya wananchi.Kwa hiyo Wabunge wa CHADEMA ndiyo wanajenga barabara?
Kazi ya kujenga barabara ni ya Serikali.
Mbunge na diwani ni wawakilishi tu ambao wanawasilisha mahitaji ya wananchi kwa Serikali na kusubiri utekelezaji.