Mapank JF-Expert Member Joined Mar 8, 2011 Posts 4,130 Reaction score 6,097 Jun 13, 2020 #21 Drone Camera said: Zote zina lami hizo mkuu waliweka last year! Au unasemea zipi Click to expand... Nilikuwa namaanisha hizi barabara ndefu Mkuyuni-National na Buhongwa-Kishiri-Igoma-Fela
Drone Camera said: Zote zina lami hizo mkuu waliweka last year! Au unasemea zipi Click to expand... Nilikuwa namaanisha hizi barabara ndefu Mkuyuni-National na Buhongwa-Kishiri-Igoma-Fela
Drone Camera JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 14,041 Reaction score 13,907 Jun 13, 2020 #22 Moses Swai said: Nilikuwa namaanisha hizi barabara ndefu Mkuyuni-National na Buhongwa-Kishiri-Igoma-Fela Click to expand... Hapo upo sahihi... Ila watu mnapenda machaguo mengi kumbe😁 kwamba uchague kwa raha zako upite town au lah
Moses Swai said: Nilikuwa namaanisha hizi barabara ndefu Mkuyuni-National na Buhongwa-Kishiri-Igoma-Fela Click to expand... Hapo upo sahihi... Ila watu mnapenda machaguo mengi kumbe😁 kwamba uchague kwa raha zako upite town au lah
Mapank JF-Expert Member Joined Mar 8, 2011 Posts 4,130 Reaction score 6,097 Jun 14, 2020 #23 https://www.ippmedia.com/en/news/road-infrastructure mwanza-city-almost-complete-manager
Silly JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 569 Reaction score 180 Jun 23, 2021 #24 Hili nalo liliishia wapi, nilimsikia waziri wa tmisemi majuzi aliiongelea barabara kutoka buhongwa, kishiri, igoma. Serikali ifanye kweli mambo yamewiva,
Hili nalo liliishia wapi, nilimsikia waziri wa tmisemi majuzi aliiongelea barabara kutoka buhongwa, kishiri, igoma. Serikali ifanye kweli mambo yamewiva,
M Marine creature JF-Expert Member Joined Nov 2, 2019 Posts 2,259 Reaction score 2,971 Jun 23, 2021 #25 Yaan kama sasa hiv hilo vumbi linalotimka sijui watu waliokaribu na barabara ndan wanaishije?kwa kwel liangaliwe hili
Yaan kama sasa hiv hilo vumbi linalotimka sijui watu waliokaribu na barabara ndan wanaishije?kwa kwel liangaliwe hili