watu wengine akili zenu ziko makalioni ! Huna hata aibu kuanika ujinga hadharaniNdio Imefunguliwa kwasababu wamejiridhisha, na sio kwasababu ya ubwekaji 🗣 wako wa, Humu Jf.
sijui hata uneuliza nini! kufunga njia watu wasipite Ni vitu au Ni Watu? au Ile barabara wanapita chama kimoja tuu?Hizo barabara si ndo tunaambiwa maendeleo ya vitu hayafai! Kumbe zikifungwa mnatabika?
Yani kipande chenyewe kidogo ivyo alafu mpk waje wazindue mbona tunaishi maisha ya shida sanaNilipita kipindi cha mvua apo nikatamani kugeuza kipande chenyewe kidogo sana sidhani kama kina 3km
Walianza wakazindua daraja likiwa linajengwa, lilipokamilika tena wakazindua, walipojenga ofs za nssf za kukatia tiket wakazindua, walipojenga Ile lami wakazindua, Yaani barabara moja uzinduzi Mara kibaoYani kipande chenyewe kidogo ivyo alafu mpk waje wazindue mbona tunaishi maisha ya shida sana
Habari njema. JF inapasua mawimbi na kuwafikia.wameifungua leo
Tangu wamalize kuijenga siku moja kabla ya thread ya JF ndio wajiridhishe na kuifungua ? acha kua mpumbavu na wewe.Ndio Imefunguliwa kwasababu wamejiridhisha, na sio kwasababu ya ubwekaji [emoji2788] wako wa, Humu Jf.
Kamtukane mama yako, nyumbu wewe.Kama unadhani mambo yanaendeshwa kienyeji namna hiyo, anzisha Uzi humu, ili Jambo lingine litekelezwe kesho, mpumbavu wewe.Tangu wamalize kuijenga siku moja kabla ya thread ya JF ndio wajiridhishe na kuifungua ? acha kua mpumbavu na wewe.
Au we nyumbu, unadhani kujiridhisha kunachukua muda gani.?Tangu wamalize kuijenga siku moja kabla ya thread ya JF ndio wajiridhishe na kuifungua ? acha kua mpumbavu na wewe.
CCM ni ugonjwa mbaya sana kupita maelezo!!Yani kipande chenyewe kidogo ivyo alafu mpk waje wazindue mbona tunaishi maisha ya shida sana
Mkuu suala sio Kushadadia Lami, Hicho kipande cha barabara ndio kiunganishi maeneo muhimu, kilikua na vumbi ndani ya mwaka mmoja na nusu watu tulipita vizuri , sasa lami imesababisha ifungwe na kufanya Ufikaji wa maeneo tofautitofauti uwe mgumu sanaHizo barabara si ndo tunaambiwa maendeleo ya vitu hayafai! Kumbe zikifungwa mnatabika?
Nakumbuka kuona kwenye taarifa ya habari ya Tarehe 1 mwezi wa 9. Siku ambayo, mkandarasi alitakiwa kukabidhi kazi.Eneo la kipande Cha barabara lililopo Kigamboni baada ya kuvuka daraja la mwl Nyerere linaonekana kukamilika lakini bado barabara hiyo imefungwa kusubiri uzinduzi wa kisiasa ilihali wanainchi wanaendelea kupata tabu!
Barabara hiyo ndiyo inayounganisha viunga vya kigamboni na maeneo Mhimu ikiwemo Hospital kubwa ya Vijibweni!
Ambulance zenye wagonjwa mahututi zinalazimika kuzunguka umbali mrefu kupitia barabara korofi Wakati kipande Cha lami hiyo kimekamilika!
Ombi langu kwa Serikali; Hiki kipande mkiendelea kukifunga kitawapotezea kura nyingi badala ya kuwaongezea kura! Wanainchi wakirugusiwa kupita haitazuia Uzinduzi kufanyika!
Wahusika fungueni barabara hiyo Ndungulile mtampa Wakati mgumu!
Update
Siku moja baada ya malalamiko hatimaye wamefungua
Mrejesho: Barabara ya lami iliyokuwa imefungwa Kigamboni leo imefunguliwa, tunashukuru Serikali kwa kusikia kilio cha wananchi
Wewe hujui chochote nyamaza! Eti lami haijakauka vizuri! HIVI KWA AKILI YAKO NDOGO UNAZANI LAMI Ni Kama nguo kwamba inahitaji mwezi kukauka!Nakumbuka kuona kwenye taarifa ya habari ya Tarehe 1 mwezi wa 9. Siku ambayo, mkandarasi alitakiwa kukabidhi kazi.
Akasema, Wamemaliza kuweka lami jana yake, bado kuchora mistari. Lakini hawawezi kuchora kabla ya lami kukauka vizuri.
Akaomba wiki 2 ili aweze kukamilisha hiyo kitu.
Hayo mengine sijui ya kiki, nadhani ni mtazamo wako. Na hiyo ndiyo demokrasia.
Hivi, kiongozi gani kaenda kuzindua vile?? Au unajidai kuwa posti yako yenye comment 50 na kitu imewafikia wakaona kuifungua bila uzinduzi?? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Basi Msamehee bro,kesha kusoma!!Wewe hujui chochote nyamaza! Eti lami haijakauka vizuri! HIVI KWA AKILI YAKO NDOGO UNAZANI LAMI Ni Kama nguo kwamba inahitaji mwezi kukauka!
Kama hujui uliza !
Baada ya kuwekwa layer zote lami huhitaji nusu saa tu baada ya kumwagwa! lami ikishapigwa upepo ikapoa tu tayali inaweza kupitika!
NDIYO MAANA KUNA SEHEMU lami inaewekwa upande mmoja Gari zinaruhusiwa kupita!
Lami siyo Kama zege la slab Elimika ndugu!
Kasome ASPHALTIC behavior
Ndugu, raha ya siku hizi, huhitaji kutumia nguvu nyingi kubishana. Video zipo.Wewe hujui chochote nyamaza! Eti lami haijakauka vizuri! HIVI KWA AKILI YAKO NDOGO UNAZANI LAMI Ni Kama nguo kwamba inahitaji mwezi kukauka!
Kama hujui uliza !
Baada ya kuwekwa layer zote lami huhitaji nusu saa tu baada ya kumwagwa! lami ikishapigwa upepo ikapoa tu tayali inaweza kupitika!
NDIYO MAANA KUNA SEHEMU lami inaewekwa upande mmoja Gari zinaruhusiwa kupita!
Lami siyo Kama zege la slab Elimika ndugu!
Kasome ASPHALTIC behavior
Uko sahihi kabisa Ile barabara inayoendelea kwenda Kibada baada ya hicho kipande, lami iliwekwa magari yakapita nusu saa baadae na haikufungwa siku nzimaWewe hujui chochote nyamaza! Eti lami haijakauka vizuri! HIVI KWA AKILI YAKO NDOGO UNAZANI LAMI Ni Kama nguo kwamba inahitaji mwezi kukauka!
Kama hujui uliza !
Baada ya kuwekwa layer zote lami huhitaji nusu saa tu baada ya kumwagwa! lami ikishapigwa upepo ikapoa tu tayali inaweza kupitika!
NDIYO MAANA KUNA SEHEMU lami inaewekwa upande mmoja Gari zinaruhusiwa kupita!
Lami siyo Kama zege la slab Elimika ndugu!
Kasome ASPHALTIC behavior
Kama ni lami mpya, huchukua masaa 24 mpaka 72 kukauka ili watu na magari yaweze pita. Kama unaweka layer ya juu kwenye lami ambayo ilikuwepo, inachukua nusu saa kukauka.Uko sahihi kabisa Ile barabara inayoendelea kwenda Kibada baada ya hicho kipande, lami iliwekwa magari yakapita nusu saa baadae na haikufungwa siku nzima
BARABARA imefungwa zaidi ya wiki tatu! wewe unapiga kelele eti haijakauka!Ndugu, raha ya siku hizi, huhitaji kutumia nguvu nyingi kubishana. Video zipo.
Bishana na hii video basi. Maana vyote nilivyo eleza kwenye posti yangu ya kwanza, vimeelezwa hapa.
Maana kila mtu anajidai mjujiaji.
Hii mitandao inaumbua sana.
Na just kukuelimisha New Asphalt inachukua 48 to 72 hours kukauka kiaina kwa ajili ya wapita kwa miguu na magari. Then ndiyo waanze kupiga mistari.
Hiyo ya kukauka nusu saa ni kama una resurface, yaani unaweka tena layer ya juu kwenye barabara ambayo ilikuwa nayo kabla.
Naomba urudi tena darasani.
Layer ya juu ndo nini! LAMI NI ILEILE Iwe unafanya OVERLAYING AU IWE NI MPYA!Kama ni lami mpya, huchukua masaa 24 mpaka 72 kukauka ili watu na magari yaweze pita. Kama unaweka layer ya juu kwenye lami ambayo ilikuwepo, inachukua nusu saa kukauka.
Ndugu acha ubishi.BARABARA imefungwa zaidi ya wiki tatu! wewe unapiga kelele eti haijakauka!
Kwanza tambua kwamba Cha Mhimu katika barabara Ni zile layer kuanzia chini kabisa SUB GRADE CORE! material yanapiwekwa na kushindiliwa huwa yanategemea na aina ya udongo!
Mambo yooote yakishafanyika kabla ya kuweka lami Lazima iwekwe GUNDI MAALUM ambayo Ni primer coat ! Hii huchukua siku tatu 72hrs Hadi siku Saba kukauka,(Hii Ni Kama lami chafu ambayo wengi ukiwemo wewe mbishi huzania kuwa Ni ndo lami)
PRIMER IKISHAKAUKA ambayo ndiyo gundi kushikilia kokoto, Ndipo asphalt (lami) huwekwa juu yake kwaajili ya mseleleko! Lami Ni material maalum ambayo huchemshwa kwenye furnace kwa kuchanganywa na kokoto ndogo ndogo (chipping) ambayo huyeyuka kwenye joto Kali na Ikipoa huganda na kuwa ngumu!
Lami ikiwa exposed kupoa huchukua hata nusu saa ( tambua kwamba lami ubora wake Ni pale ikishapoa tu inakuwa tayali)
NOTE; Kazi ya lami siyo kuhimili UZITO WA MAGARI Bali Ni kurahisisha magurudumu kuzunguka kwa mseleleko ulio rahisi!
Ni Kama godoro na chaga! lami Ni kapeti la juu for easy trafficking!
KWAHIYO HICHO ULICHODESA HAPO JUU NI PRIMER (LAMI CHAFU) NDIYO HUHITAJI MDA MWINGI KUKAUKA !
Barabara Tunayoizungumzia hatua hizo ilishapita ndiyo maana wakaweka lami!
Kama hujaelewa! kaangalie hata wanapoweka vilaka barabarani wanapomaliza kusmooth lami magari hurusiwa siku ileile!
LAMI NI LAMI TU HAIJALISHI unajazia (OVERLAYING) AU UNAWEKA UPYA!
USIWE MBISHI