Barabara ya Mbezi Beach hadi Kinyerezi mbona haijengwi?

Barabara ya Mbezi Beach hadi Kinyerezi mbona haijengwi?

pembe

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
2,150
Reaction score
717
Katika mfumo wa kupunguza foleni barabarani hapa Dar, inatakiwa kipaumbaele kiwekwe kwenye kujenga barabara za mzunguko (ring roads). Barabara mojawapo ni hii inayoanzia Mbezi Beach - Goba- Mbezi Louis - Kinyerezi hadi Uwanja wa Ndege wa Dar.

Waziri wa Ujenzi naona kaisahau hii barabara pamoja na kwamba daraja la mto Msimbazi linajengwa.

Hii barabara nakumbuka kwenye miaka ya 2006 - 2009 ilipigiwa debe sana ijengwe lakini baadaye sikuona chochote kufanyika zaidi ya kuweka nguzo kuonyesha eneo la barabara (road reserve). Hii barabara kwa sasa inapitisha magari mengi (traffic count) kiasi cha kuihalalisha kujengwa kwa kiwango cha lami.

Barabara hii ikijengwa kwa kiwango cha lami itapunguza sana magari yanayotoka mikoani kuja sehemu za Mbezi Beach hadi Tegeta na maeneo ya Kinyerezi, Tabata, Segerea , Ukonga na Gongo la Mboto!
 
subiri 3yrs dsm itakuwa haina foleni by magufuli
 
Katika mfumo wa kupunguza foleni barabarani hapa Dar, inatakiwa kipaumbaele kiwekwe kwenye kujenga barabara za mzunguko (ring roads). Barabara mojawapo ni hii inayoanzia Mbezi Beach - Goba- Mbezi Louis - Kinyerezi hadi Uwanja wa Ndege wa Dar.

Waziri wa Ujenzi naona kaisahau hii barabara pamoja na kwamba daraja la mto Msimbazi linajengwa.

Hii barabara nakumbuka kwenye miaka ya 2006 - 2009 ilipigiwa debe sana ijengwe lakini baadaye sikuona chochote kufanyika zaidi ya kuweka nguzo kuonyesha eneo la barabara (road reserve). Hii barabara kwa sasa inapitisha magari mengi (traffic count) kiasi cha kuihalalisha kujengwa kwa kiwango cha lami.

Barabara hii ikijengwa kwa kiwango cha lami itapunguza sana magari yanayotoka mikoani kuja sehemu za Mbezi Beach hadi Tegeta na maeneo ya Kinyerezi, Tabata, Segerea , Ukonga na Gongo la Mboto!
Mkuu Pembe, asante kukumbushia hii.Sababu ni hii [h=3]Bomoa Bomoa Mbezi Beach Samaki Wabichi-Goba Rd Yaja[/h]Tanroad walifanya mabadiliko ya matumizi ya ardhi bila kuwashirikisha walengwa, walikuja na kupima na kuweka x kwenye nyumba kibao ili kupanua barabara, ile kuanza tuu valuation, kuna nyumba kule ya BOQ yake tuu ni bilioni 200!, bado market rate valuation!, mwenye nyumba ameleta yale majabali ya mawe ya granite (mawe meusi), akayachonga jna kujengea nyumba nzima ya ghorofa 2, ghorofa ya chini iko under ground, ile nyumba ya mzungu pale kwenye kilima!, serikali imeonelea gharama za fidia zitakuwa too much, hivyo mpango huo umekuwa abandoned!, sasa ring road hiyo itaanzia pale Tageta Kibaoni, itachanja usawa wa Wazo, Madale na kuibukia Kimara ndipo iendelee. Goba Rd itawekwa tuu lami kama street road.

Thanks.

Pasco
 
Mkuu Pembe, asante kukumbushia hii.Sababu ni hii Bomoa Bomoa Mbezi Beach Samaki Wabichi-Goba Rd Yaja

Tanroad walifanya mabadiliko ya matumizi ya ardhi bila kuwashirikisha walengwa, walikuja na kupima na kuweka x kwenye nyumba kibao ili kupanua barabara, ile kuanza tuu valuation, kuna nyumba kule ya BOQ yake tuu ni bilioni 200!, bado market rate valuation!, mwenye nyumba ameleta yale majabali ya mawe ya granite (mawe meusi), akayachonga jna kujengea nyumba nzima ya ghorofa 2, ghorofa ya chini iko under ground, ile nyumba ya mzungu pale kwenye kilima!, serikali imeonelea gharama za fidia zitakuwa too much, hivyo mpango huo umekuwa abandoned!, sasa ring road hiyo itaanzia pale Tageta Kibaoni, itachanja usawa wa Wazo, Madale na kuibukia Kimara ndipo iendelee. Goba Rd itawekwa tuu lami kama street road.

Thanks.

Pasco

Naomba picha ya hiyo nyumba
 
Naomba picha ya hiyo nyumba
Mkuu Bulldog, hata nyumba za watu ni private property, "no right to trespass!".

Pita hiyo hiyo njia kuelekea Goba, kuna jumba moja kubwa liko pale kilimani, kwa mbele linaonekana ni jumba la ghorofa moja, ukifika hapo ndipo utagundua chini kuna basement floor ametindua mlima, akajenga chini ya mlima!. Jumbo lote limejengwa kwa mawe, "cut stone" toka milimani!. Ukichungulia kwenye geti, utaona hadi pavement blocks zake ni marble stones!.

NB. Real Value ya some properties ni what you make out of it, kuna watu wamejenga nyumba zao ili tu ziwe "articles of ostentatious" ukizungumzia kuzibomoa utakoma mwenyewe!. Pia maeneo ya Upanga, sikumbuki ni mtaa gani, ila kuna jumba limejengwa kwa marble, mwanzo mwisho, hadi fance!.

Pasco.
 
Mkuu Bulldog, hata nyumba za watu ni private property, "no right to trespass!".

Pita hiyo hiyo njia kuelekea Goba, kuna jumba moja kubwa liko pale kilimani, kwa mbele linaonekana ni jumba la ghorofa moja, ukifika hapo ndipo utagundua chini kuna basement floor ametindua mlima, akajenga chini ya mlima!. Jumbo lote limejengwa kwa mawe, "cut stone" toka milimani!. Ukichungulia kwenye geti, utaona hadi pavement blocks zake ni marble stones!.

NB. Real Value ya some properties ni what you make out of it, kuna watu wamejenga nyumba zao ili tu ziwe "articles of ostentatious" ukizungumzia kuzibomoa utakoma mwenyewe!. Pia maeneo ya Upanga, sikumbuki ni mtaa gani, ila kuna jumba limejengwa kwa marble, mwanzo mwisho, hadi fance!.

Pasco.

Sawa, ila inamaana hilo jumba lina thamani ya bil 200??
 
OK lina thamani kubwa BUT not 200B
Mkuu Pembe, asante kukumbushia hii.Sababu ni hii [h=3]Bomoa Bomoa Mbezi Beach Samaki Wabichi-Goba Rd Yaja[/h]Tanroad walifanya mabadiliko ya matumizi ya ardhi bila kuwashirikisha walengwa, walikuja na kupima na kuweka x kwenye nyumba kibao ili kupanua barabara, ile kuanza tuu valuation, kuna nyumba kule ya BOQ yake tuu ni bilioni 200!, bado market rate valuation!, mwenye nyumba ameleta yale majabali ya mawe ya granite (mawe meusi), akayachonga jna kujengea nyumba nzima ya ghorofa 2, ghorofa ya chini iko under ground, ile nyumba ya mzungu pale kwenye kilima!, serikali imeonelea gharama za fidia zitakuwa too much, hivyo mpango huo umekuwa abandoned!, sasa ring road hiyo itaanzia pale Tageta Kibaoni, itachanja usawa wa Wazo, Madale na kuibukia Kimara ndipo iendelee. Goba Rd itawekwa tuu lami kama street road.

Thanks.

Pasco
 
Katika mfumo wa kupunguza foleni barabarani hapa Dar, inatakiwa kipaumbaele kiwekwe kwenye kujenga barabara za mzunguko (ring roads). Barabara mojawapo ni hii inayoanzia Mbezi Beach - Goba- Mbezi Louis - Kinyerezi hadi Uwanja wa Ndege wa Dar.

Waziri wa Ujenzi naona kaisahau hii barabara pamoja na kwamba daraja la mto Msimbazi linajengwa.

Hii barabara nakumbuka kwenye miaka ya 2006 - 2009 ilipigiwa debe sana ijengwe lakini baadaye sikuona chochote kufanyika zaidi ya kuweka nguzo kuonyesha eneo la barabara (road reserve). Hii barabara kwa sasa inapitisha magari mengi (traffic count) kiasi cha kuihalalisha kujengwa kwa kiwango cha lami.

Barabara hii ikijengwa kwa kiwango cha lami itapunguza sana magari yanayotoka mikoani kuja sehemu za Mbezi Beach hadi Tegeta na maeneo ya Kinyerezi, Tabata, Segerea , Ukonga na Gongo la Mboto!

tangu walipoishia hapa kanisani ndo basi tena wanasubili iwe moja ya kampen zao ktk uchaguz ujao..ili kuthibitisha hlo tunayaona magari ya police,magari JWTZ yakiwa msururu yakielekea mbez,magar yakiserikal kbao,magari ya abiria kbao yanapita ktk barabara hi ya vumbi hi inaonesha wanatambua uwepo wake..swala linabaki ni ahadi mojawapo ktk kampen
 
Sawa, ila inamaana hilo jumba lina thamani ya bil 200??
Mkuu BullDog, asante, ila kwani bilioni 200 ni nini?!.
Kwenye valuation kuna kitu kinaitwa
1. Real Value-Thamani halisi
2. Market Value-Thamani ya Soko
3. Assumed Value- Hii ni value binafsi unavyojithaminisha mwenyewe!.

Mfano mimi Pasco wa jf, I'm worth trilioni 100!, that is me!, sijununuliki, my value ni priceless ila ukija ku quantify my property for valuation you'll end up kunikutawith a single pair of rugged trouser!, nikiishi kwenye a single room, mud house, ukiniuliza thamani ya kufidiwa ili nihame!, nitakuambia kuwa hata trillion dollars hazinitoshi! ukiniuliza why, I simply tells you ndani ya chumba hicho hicho kimoja, ndimo alimozikwa baba yangu, baba yangu na mke wangu, hivyo no one can quantify the assumed value of my land!.

Mara moja moja, punguzeni uvivu wa kusoma kutaka kujua!, nimewaeleza kitu kinaitwa "articles of ostintations!" hamtaki kusoma mnashangazwa na jumba la bilioni 200!, jee nikiwatuma nendeni kaangalieni thamani ya picha tuu ya "Mona Lisa" iliyochorwa na Leonado Da Vinci!, mtasemaje?!.

Asante.

Pasco
 
Back
Top Bottom