KERO Barabara ya Mtaa wa Changani-Temeke ina uwezo wa kuhimili malori? Njia inaharibika kila iendapo leo

KERO Barabara ya Mtaa wa Changani-Temeke ina uwezo wa kuhimili malori? Njia inaharibika kila iendapo leo

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Hii kero inahusu mzani wa magari makubwa ambao upo mtaa wa Changani- Temeke. Sina hakika kama hizi barabara za mitaani zina uwezo wa kuhimili uzito wa haya magari makubwa.

Barabara ya mtaa wa Changani na Likwati imeharibika kwa biashara ya mtu binafsi. TARURA wamelala uzingizi mzito.
 
Back
Top Bottom