KERO Barabara ya Nachingwea-Masasi ni mbovu mno

KERO Barabara ya Nachingwea-Masasi ni mbovu mno

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

mtzmweusi

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
8,658
Reaction score
8,994
Habari wakuu,

Hii barabara ni mbovu sana naomba wahusika wafanyie kazi hata kama ni masika ubovu umezidi na imekuwa kero sana barabara ina mashimo kama mahandaki wabunge wapo wakurugenzi wapo wakuu wa wilaya wapo ni kwamba hawaoni au tafadhali tengenezeni hii barabara.
 
Back
Top Bottom