Nikuhusu barabara ya Ndungu-Lugulu. Barabara hii, tangu iharibiwe na mvua za El Nino mwaka 2023, haijawahi kutengenezwa.
Barabara hii ni muhimu sana kwa wakazi wa kata ya Lugulu na kata ya Mtii, hasa wakati wa mavuno ya tangawizi. Kwa sasa, hakuna gari linaloweza kupita katika barabara hii.
Ombi letu ni kwa Serikali, Waziri wa Miundombinu Abdallah Hamis Ulega, na Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango: Wakazi wa kata hizi mbili, Lugulu na Mtii, tunaomba mtutengenezee barabara hii ili kurejesha urahisi wa usafiri na kuimarisha uchumi wa maeneo yetu, tunawaomba mtusaidie kwa haraka.
Barabara hii ni muhimu sana kwa wakazi wa kata ya Lugulu na kata ya Mtii, hasa wakati wa mavuno ya tangawizi. Kwa sasa, hakuna gari linaloweza kupita katika barabara hii.
Ombi letu ni kwa Serikali, Waziri wa Miundombinu Abdallah Hamis Ulega, na Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango: Wakazi wa kata hizi mbili, Lugulu na Mtii, tunaomba mtutengenezee barabara hii ili kurejesha urahisi wa usafiri na kuimarisha uchumi wa maeneo yetu, tunawaomba mtusaidie kwa haraka.