Nikuhusu barabara ya NDUNGU- LUGULU barabara hii tangu iharibiwe na mvua za elimino mwaka 2023 haikuwahi kutengenezwa ,barabara hii ina umuhimu sana kwawakazi wa kata ya lugulu na kata ya mtii hasa kipindi cha mavuno ya Tangawizi ,kwasasa hakuna gari inayoweza kupita katika barabara hii ,Ombi kwa serekali na waziri wa miundombinu Abdallah ulega na mbunge wasame mashariki ,Wakazi wakata hizi mbili Lugulu na mtii tunaomba mtutengenezee hii barabara.