KERO Barabara ya Taliani Chanika Kupitia PSSSF kwenda Njia nne mpaka Amana ndogo haifai..

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Sisi wakazi wa Chanika Taliani kuelekea PSSSF, barabara zetu zimekuwa mbovu sana.

Mkandarasi alikuja na kuchakachua kupitisha grader kwa juu tu, ametimua vumbi na kukimbia badala ya kutengeneza barabara, hakuwa na vibration roller kwaajili ya ushindiliaji.

Kwakwel tunapata shida sana, tunaomba mtupazie sauti tutengenezewe barabara hata viwango vya changarawe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…