KERO Barabara za jijini Dodoma hazifanyiwi usafi zimejaa mchanga. Ukitembea kwenye lami ni sawa na aliyepita barabara ya vumbi

KERO Barabara za jijini Dodoma hazifanyiwi usafi zimejaa mchanga. Ukitembea kwenye lami ni sawa na aliyepita barabara ya vumbi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Copro mtego

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
619
Reaction score
796
Barabara za jijini Dodoma inaonekana hazifanyiwi ushafi wowote maana hata ukipita barabara ya lami vumbi lake ni sawa na alitepita barabara ya vumbi tu.

Najiuliza hizi uongozi wa jiji unashindwa kutenga bajeti kwa ajili ya kutunza barabara za makao makuu ya nchi?

Na kama hali hii ipo makao makuu ya nchi vipi hali ya barabara za halmashauri za pembeni sana?
Mm binafsi nimekuja kama mgeni Dodoma ila hiyo hali umenipa mawazo sana.

Yaani nusu ya barabara imeshafunikwa na mchanga kiasi kwamba watembea kwa miguu, boda boda na waendesha baiskeli hawawezi kuona lami imebaki katkat tu na hii ni kwenye barabara zote nilizopita za Dodoma.

Mamlaka za jiji sijui kama zinaliona hili

IMG_20240705_175501_576.jpg
IMG_20240705_175454_316.jpg
IMG_20240705_175420_804.jpg
IMG_20240705_175351_640.jpg
IMG_20240705_175417_564.jpg
IMG_20240705_174656_017.jpg
IMG_20240705_174558_826.jpg

IMG_20240705_175454_316.jpg
 

Attachments

  • IMG_20240705_174650_817.jpg
    IMG_20240705_174650_817.jpg
    6.2 MB · Views: 6
  • IMG_20240705_174645_663.jpg
    IMG_20240705_174645_663.jpg
    5.9 MB · Views: 7
Barabara zenyewe zimejengwa out of standard mitaro ya wazi ya kazi gani kwanini hawa wapumbavu wa ccm awaweki standard moja au mbili bora ya ujenzi bora wa barabara ....hata hapa dar CBD kunamitaa chungu mzima hakuna barabara ni vumbi tu na zilizopo hazieleweki bi barabara za standard gani
Barabara za jijini Dodoma inaonekana hazifanyiwi ushafi wowote maana hata ukipita barabara ya lami vumbi lake ni sawa na alitepita barabara ya vumbi tu.

Najiuliza hizi uongozi wa jiji unashindwa kutenga bajeti kwa ajili ya kutunza barabara za makao makuu ya nchi?

Na kama hali hii ipo makao makuu ya nchi vipi hali ya barabara za halmashauri za pembeni sana?
Mm binafsi nimekuja kama mgeni Dodoma ila hiyo hali umenipa mawazo sana.

Yaani nusu ya barabara imeshafunikwa na mchanga kiasi kwamba watembea kwa miguu, boda boda na waendesha baiskeli hawawezi kuona lami imebaki katkat tu na hii ni kwenye barabara zote nilizopita za Dodoma.

Mamlaka za jiji sijui kama zinaliona hili

 
Mfumo wa ujenzi wa barabara zeru wa kuacha vigisi pembeni ya barabara na mitaro wala hakuna pevingi kuingia kwenye barabara ndogo au makazi tutegemee tatizo halitaisha. Niliishi china 4 months sijawah kanyaga mchanga
 
Lakini hata kuwepo na watu wa kufagia mchanga kama dar wanavyofanya imewashinda kweli?
Mfumo wa ujenzi wa barabara zeru wa kuacha vigisi pembeni ya barabara na mitaro wala hakuna pevingi kuingia kwenye barabara ndogo au makazi tutegemee tatizo halitaisha. Niliishi china 4 months sijawah kanyaga mchanga
 
Mimi binafsi nilitegemea makao makuu yatakuwa na matunzo mazuri kuliko hata dar
 
Kwa huu upepo unaonyanyua mchanga na kukupiga nao. Hata wewe ungechoka kufagia. Tuhame Dodoma tuwaachie Wenyewe
 
Hata dar barabara nyingi zimejaa michanga miaka kadhaa mbele
Lami yote itapotea
Wataanza tena kutumia matrilion ya hela kupiga lami tena
Mamlaka husika hawajui wajibu wao

Ova
 
Back
Top Bottom