KERO Barabara za Kigamboni ni kero

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Joined
May 6, 2024
Posts
77
Reaction score
103
Wahusika kama ilikuwa muda bado wa kujenga mliona haja gani kukwangua barabara na kuicha hivo wiki ya 4 sasa. Mnatupa kero sana na vumbi na foleni isiyo na sababu.

Kipande hiki tokea mzunguko wa kutokea darajani kama unaenda Vijibweni au Kisiwani kuna kipande maarufu kwa steve ni kero sana na mbaya njia ilikuwa haina shida vile ila sasa toka wahusika mmekwangua ni vumbi na uharibifu wa magari ya watu.
 

Ungekuwa umesema za CCM ungekuwa umetuongelea na sisi huku Hungumalwa, Ngudu, Kwimba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…