Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anabebwa na ushirikina + udini pekeeHumu hakuna kitu kabisa, kuna barabara ya kutoka mkuranga, kuja tengelea, kisha dondwe, mvuti, chanika, ni muhimu saana hii, lakini mbovu kufuru.
Kuna kijiji hapo cha Lubambawe hakuna umeme kisa tu ulega hapatani na diwani wake.. Yaani bifu lao linazuia maendeleo.
Na majitu yalivyo majinga utashangaa anapita tena.
DANGANYIKA kiujumla ni sikio la kufa.
Huyo diwani anaongoza kijiji kimoja tu? Kwanini umeme usiruke kata nzima ya huyo diwani.Humu hakuna kitu kabisa, kuna barabara ya kutoka mkuranga, kuja tengelea, kisha dondwe, mvuti, chanika, ni muhimu saana hii, lakini mbovu kufuru.
Kuna kijiji hapo cha Lubambawe hakuna umeme kisa tu ulega hapatani na diwani wake.. Yaani bifu lao linazuia maendeleo.
Na majitu yalivyo majinga utashangaa anapita tena.
DANGANYIKA kiujumla ni sikio la kufa.
Huyo diwani anaongoza kijiji kimoja tu? Kwanini umeme usiruke kata nzima ya huyo diwani.
mwenyekiti anaweza jiongeza kilometa tatu...Mbunge haana kipaumbele.Kiongozi wa mtaa au kijiji
Ahusike hapo mchimbe mitaro ya pembeni mwa barabara ili maji yasiwe yanasimama
Huku mkiendelea kumsubiri huyo Ulega
Mambo mengine ni kujiongeza tu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app