Aisee watu wanajua kuchangua sura za ukweli,ndo maana sitaki kuoa mapema bado nasaka
Tatizo kwetu bongo wazuri hawajatuliaMkuu usije chagua saana mpaka ukakosea.
Obama, Obama jamani obama....
Aisee watu wanajua kuchangua sura za ukweli,ndo maana sitaki kuoa mapema bado nasaka
aaah sasa utafanyajeUkiachagua sana mwisho utachagua koroma
ila heri kuoa sura nzuri bhana mengi tutavumilianasasa sijui tuangaliage nini mkuu!
Maana
>wenye tabia nzuri = majanga !
>Wenye sura nzuri = Majanga !
>Wenye mvuto = majanga !
Wenye sura nzuri na mvuto ndo hao - PESA Kwanza !