Wanaogopa upweke aiseeee.....Sa mbona wengi wanalikimbilia hilo shimo???
UmeanzaBaraka ni mweusi mmh kama vile anapaka kiwi
Koh Koh Koh nisamehe 😛Umeanza
MUmeoa?
Ila Barakah nae kama mpoki aiseeHaooo
, m, d,,, t, [kunam msanii anaitwa Baraka da price-duu kweli nipo mbali na mziki wa kitanzania kwa sasa.
Anywe maji ya kutosha tu,mambo itakua powaIla Barakah nae kama mpoki aisee
HakikaAnywe maji ya kutosha tu,mambo itakua powa
..pia lina asali na maziwa ukilijulia!Sa mbona wengi wanalikimbilia hilo shimo???
Haooo
Dada amekunywa maji mengi Sana, sema huyu mjomba labda apige jagi kama sita per day ndio
Hivi huyu Naj, ndo yule aliwahi kutoka na Mr Bluuue.....? Au naMIX naFolder...?
Acha kututisha....Ila akumbuke ndoa ni shimo refu lenye kiza
Ila akumbuke ndoa ni shimo refu lenye kiza
Inategemea na tafsiri na jinsi utakavyoichukuliaKumbe ndoa ni shimo? Aiseeh!!