Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Onani oh nene...chu olibhebhe ! Teh teh. Avatar zingine buana!
Hawa vijana baadhi yao katika tasnia ya sanaa, wanahusishwa sana na hizo kashifa.
Inafaa wamulikwe na kuchukuliwa hatua kwa wanaohusika.
Clouds huwajui ww Sana Ngoja nitaweka full movie yao utashangaa mpaka watumishi wake kuwa wanajihusisha maswala ya ushoga
Huwa kila siku ninakwambia wewe ni wanyumbani, unaruka vihunzi! Kiko wapi sasa?Cho gashi naga no bebe u le munho?
Huwa kila siku ninakwambia wewe ni wanyumbani, unaruka vihunzi! Kiko wapi sasa?
Mwenye asili haachi asili.
Weka hapa hiyo Audio Clips ya hayo maogezi wacha saund...Hapana Sio kiki hii Ilikuwa tarehe 22/07/2019 Usiku wa saa 23:22pm baada ya mama Baraka kupiga simu kwa kaka yake Baraka kumpa Taarifa.
common mistakes23:22pm ndo nini hii mkuu?
Saa tano na dakika ishirini na Mbili usiku.
Huo wimbo aliandikiwa na Goodluck Gosbert, na beat aligonga Goodluck Gosbert aka Lollpop (Kabla hajaanza kuimba nyimbo za dini), Badae Barack akazingualabda juu ya kaburi utanipenda mm nikiwa sina uhai
Ntumie picha yako pm bas angalau nikuone Tu SuraSijawah ulizwa swali hili na ww..pia sijawahi jificha kabila langu hata siku 1
labda umejimix
Ohoooo!!!Nakumbuka mwili wa Marehemu Mangwea baada ya jeneza kutua tu airport mtu wa kwanza kushika jeneza alikua ni Kinje Ngombare Mwiru.
Akili kumkichwa.
Mkuu ukipewa jibu zuri lenye kueleweka katika hili swali lako naomba ni tag.Sasa clouds ndio wamemtuma afanye huo ujinga?
Sasa clouds ndio wamemtuma afanye huo ujinga?
Ntumie picha yako pm bas angalau nikuone Tu Sura
Sometimes I miss you. Umewahi itegea masikio kimadhubuti mkuuHuyo msukuma haji kutoa single kama Siachani nawe!!..
Bonge la punch lineINATOSHA SASA TUSHABEBA SANA UNGA SHIDA YETU MCHELE SO TUBEBESHENI MPUNGA.
Yeah ila huwa naiona siachani nawe nzuri kuiko zote zilizofatia!..Sometimes I miss you. Umewahi itegea masikio kimadhubuti mkuu