Baraka Magufuli atoa neno Chato kwenye tukio la kumuaga Hayati Rais Magufuli

Baraka Magufuli atoa neno Chato kwenye tukio la kumuaga Hayati Rais Magufuli

Shadow7

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
24,606
Reaction score
39,289
Leo siku ya kutoa heshima za mwisho kwa Jemedari wetu JPM wilayani Chato, Baraka Mwakipesile, maarufu kama ‘Baraka Magufuli’ amepewa nafasi ya kuonyesha kile ambacho alikionyesha siku zote hata mbele ya hayati Rais Magufuli.


 
Huyu ndo atabaki kama alana kwa kuiga sauti yake
 
Nilimsikiliza aliongea vizuri, hakuweka maneno yasomaana kama walivyo Comedians wengi wa TZ.
 
Leo siku ya kutoa heshima za mwisho kwa Jemedari wetu JPM wilayani Chato, Baraka Mwakipesile, maarufu kama ‘Baraka Magufuli’ amepewa nafasi ya kuonyesha kile ambacho alikionyesha siku zote hata mbele ya hayati Rais Magufuli.



Mmh
 
Back
Top Bottom