Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
Huyu Mtu hata mechi ikiwa mbaya, huwa anaifanya inakuwa nzuri!
Yaani kuna kipaji na Elimu, sasa huyu vyote anatumia....
Aliemuajiri AZAM kongole kwake!
........
Hili ni goli la Simba vs Nkana la kusawazisha mfungaji akiwa Jonas Mkude
(in mpenja voice [emoji1787][emoji1787][emoji1787])
"Mohammed Hussein, Chama Clatous.....JONAS Mkudeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!! Mwanaukome Jonas Mkude, akipokea pasi ice cream ya maziwa kutoka kwa mwamba wa Lusaka, Tripple C, akacontrol na kuachia bomu kalliii....Akashuka na mashetani wekundu jumla jumla
Alan chibwe alijaribu ku-drive, Brother familia inakutegemea, ukitegua nyonga itakuwa madhara kwa familia
Coach Patrick Ausems Ule uchebe mweupe unapepea tu namna hii...
Yaani kuna kipaji na Elimu, sasa huyu vyote anatumia....
Aliemuajiri AZAM kongole kwake!
........
Hili ni goli la Simba vs Nkana la kusawazisha mfungaji akiwa Jonas Mkude
(in mpenja voice [emoji1787][emoji1787][emoji1787])
"Mohammed Hussein, Chama Clatous.....JONAS Mkudeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!! Mwanaukome Jonas Mkude, akipokea pasi ice cream ya maziwa kutoka kwa mwamba wa Lusaka, Tripple C, akacontrol na kuachia bomu kalliii....Akashuka na mashetani wekundu jumla jumla
Alan chibwe alijaribu ku-drive, Brother familia inakutegemea, ukitegua nyonga itakuwa madhara kwa familia
Coach Patrick Ausems Ule uchebe mweupe unapepea tu namna hii...