figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Mwezi December 2014 utakuwa wa kukumbukwa kwa kwaya maarufu Afrika mashariki na kati ya Ambassadors of Christ kutoka kanisa la Sabato Remera Kigali nchini Rwanda, baada ya kushuhudia waimbaji wake wakongwe wakifunga pingu za maisha kila mtu kwa wakati wake.
Aliyefungua dimba kwa mwezi Disemba 7 ni mwimbishaji wa nyimbo nyingi za kwaya hiyo kijana Jimmy Bizimungu aliyefunga ndoa na mpenziwe na aliyefunga mwaka ni mwanadada Pepe Patience aliyefunga ndoa na mpenzi wake aitwaye Webb (mzungu). Harusi zote zilifanyika jijini Kigali nchini Rwanda huku kwaya ya Kwetu pazuri ikishiriki bega kwa bega na maharusi hao.
Chini ni picha ndoa ya Jimmy
Chanzo:gospelkitaa
Aliyefungua dimba kwa mwezi Disemba 7 ni mwimbishaji wa nyimbo nyingi za kwaya hiyo kijana Jimmy Bizimungu aliyefunga ndoa na mpenziwe na aliyefunga mwaka ni mwanadada Pepe Patience aliyefunga ndoa na mpenzi wake aitwaye Webb (mzungu). Harusi zote zilifanyika jijini Kigali nchini Rwanda huku kwaya ya Kwetu pazuri ikishiriki bega kwa bega na maharusi hao.
Chini ni picha ndoa ya Jimmy
Chanzo:gospelkitaa