wivu unakusumbua wame pendana wenyewe mambo ya uzee hayakuhusu mbona wewe umeolewa na kikonge cha miaka 95 kuna aliyekuuliza.Uzee ni suala la kukemea kabisa ushindwe na unyong'onyee!
ukishajua itakusaidia nini unataka ukaolewe na wewe na mzungu
kati ya rika ambalo halina soko kwenye mapenzi ya wazungu ni wazee na wanene. kama umegundua waafrica wa kike na kiume wanoa na kuolewa na wazee na wanene. mzungu kijana aliyeko kwenye order (meaning hana over weight na maunene ya kijinga) ni nadra kumuoa/kuolewa na mtu mzee au mnene.pia kuna ubaguzi pia linapokuja swala la mzungu kuoa/kuolewa na muafrica ndo maana unaona wale wasio na soko la kupendwa ulaya (wazee na wanene) wanakimbilia kwa waafrica. hili liko wazi asilimia kubwa waafrica wameoa/wameolewa na wazungu wanene au wazee.
ukishajua ni mzee itakusaidia niniHapa umekurupuka ☺. Pole sana.
Mleta mada ameandika "ameolewa na mzungu mzee". Mimi nimemuuliza kistaarabu "wanaumri gani"? Hii itasaidia kupata hitimisho kama ni mzee au la, kama hoja yake inavyojieleza.
ukishajua ni mzee itakusaidia nini
wewe ndo ulikuwa na kiherehere cha kujua mambo yasiyokuhusuMuulize mleta mada ☺
wewe ndo ulikuwa na kiherehere cha kujua mambo yasiyokuhusu
Hujanielewa, mimi sikuzungumzia mzee nimezungumzia uzee kwa maana ya kwamba uzee sio issue kwenye suala la mapenzi. Mambo mengine yanataka utafakari kabla ya kumshambulia mtu. Siku maanisha kuwa huyo aliyeitwa mzee ndiye akemewe. Kwanza uzee ni jinsi unavyofikiria akilini lakini mzee anaweza kuwa bora kuliko mwenye umri mdogo. Pole kwa kutokunielewa. Kwa ufupi kwenye mapenzi hakuna umri na ndio maana kwa wenzetu wazungu kumuuliza mtu umri wake huwa inakuwa ni suala wasilo lipenda sana. Read between the lines!wivu unakusumbua wame pendana wenyewe mambo ya uzee hayakuhusu mbona wewe umeolewa na kikonge cha miaka 95 kuna aliyekuuliza.
yameisha tumepishana kauli .Hujanielewa, mimi sikuzungumzia mzee nimezungumzia uzee kwa maana ya kwamba uzee sio issue kwenye suala la mapenzi. Mambo mengine yanataka utafakari kabla ya kumshambulia mtu. Siku maanisha kuwa huyo aliyeitwa mzee ndiye akemewe. Kwanza uzee ni jinsi unavyofikiria akilini lakini mzee anaweza kuwa bora kuliko mwenye umri mdogo. Pole kwa kutokunielewa. Kwa ufupi kwenye mapenzi hakuna umri na ndio maana kwa wenzetu wazungu kumuuliza mtu umri wake huwa inakuwa ni suala wasilo lipenda sana. Read between the lines!
Huo ndio uungwana mkuu. Asante!yameisha tumepishana kauli .
wabaridi sana niulize miemie mwenyewe natafuta mzungu tu,,,,,,,, hongera muimbaji
wabaridi sana niulize mie